Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Italia wakisaini kitabu cha maombolezo kwa Rais Mstaafu Mzee Mkapa
As you travel around the country there is always something exceptional waiting for you to discover. TANZANIA boasts 3 of the top 10 WORLD'S most famous lakes LAKE TANGANYIKA, LAKE VICTORIA and LAKE NYASA.
These water resources are KEY to our country supporting tourism, economy, environment, wildlife, heritage and countless recreation activities and experiences. Read more...
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italia Mhe. George Kahema Madafa akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya Maombolezo kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Kenya Mzee Daniel arap Moi katika Ubalozi wa Kenya jijini Roma tarehe 6 Februari 2020.
Rais Mstaafu wa Kenya Mzee Daniel arap Moi alikuwa Rais wa pili wa Kenya kutoka mwaka 1978 mpaka 2002. Alikuwa Rais kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi wakati huo Mzee Jomo Kenyatta. Aliaga dunia akiwa kwenye matibabu katika hospitali ya Nairobi tarehe 4 Februari 2020 akiwa na umri wa miaka 95.
Chuo Kikuu cha Kipapa cha Urbainiana kilichoko mjini Roma, hivi karibuni kilimtafakari Mwl. J.K. Nyerere 1922-1999: Fikra na mchango wake katika Jumuiya ya Kimataifa.
Katika hotuba yake, Balozi wa Tanzania nchini Italia Mh. George Kahema Madafa, alibainisha kwamba maisha, fikra na mawazo ya Mwl. Nyerere yamefumbatwa na uadilifu, bidii, usawa, mshikamano na uvumilivu usio na kipimo. Kama mtumishi wa serikali ya Tanzania, utendaji kazi wa Mwl. Nyerere ulisadifu kwa dhati fadhila na tunu msingi za maisha ya kikristo yaani; Imani, Matumaini na Mapendo kwa Mungu na unyenyekevu uliotukuka kwa watu aliowatumikia.
We inform You that, starting from 11th November 2019, the Visa Service has been updated and the Embassy of Rome will no longer issue any type of visa for entering Tanzania.
The new procedure for obtaining entry visas is exclusively the TELEMATIC on-line visa.
The Consulate of Milan is able to provide the service necessary for assistance in issuing visas to all tourists who may request.
From 1st January 2020, you can visit the following link https://www.consolatotanzania.
Attention: The Embassy of Tanzania, and the Tanzanian Consulate of Milan V.le Piceno n. 5, are the only Institutional Offices of the Government of Tanzania in Italy. Any other website that offers to issue entry visas to Our Nation is not a Government site and, therefore, they are private agencies without any institutional guarantee and with eventual risk on the tourists who apply to these agencies.
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio na kufanya kazi mjini Napoli, Mwenyekiti Bw Koshi na Katibu Bi Tandika wakiwa mkutanoni na Mheshimiwa balozi George Kahema Madafa.